Wanawake Nchini wameaswa Kuwania Fursa ya Kuchukuwa Mikopo kwa Malengo

Na Moreen Rojas Dodoma Katibu Mtendaji wa baraza la uwezeshaji wananchi kiuchumi (NEEC) Bi.Beng’i Issa amewaasa wanawake kuchukua mikopo kwa malengo na sikufanya shughuli ambazo zitawakwamisha kurejesha mikopo hiyo.Ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma wakati akielezea utekelezaji wa majukumu ya baraza la taifa la uwezeshaji wananchi kiuchumi (NEEC). Aidha amesema kuwa