Wanawake Nchini wameaswa Kuwania Fursa ya Kuchukuwa Mikopo kwa Malengo
Na Moreen Rojas Dodoma Katibu Mtendaji wa baraza la uwezeshaji wananchi kiuchumi (NEEC) Bi.Beng’i Issa amewaasa wanawake kuchukua mikopo kwa malengo na sikufanya shughuli ambazo zitawakwamisha kurejesha mikopo hiyo.Ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma wakati akielezea utekelezaji wa majukumu ya baraza la taifa la uwezeshaji wananchi kiuchumi (NEEC). Aidha amesema kuwa
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed